MUTTA Chuo Kikuu cha Injili Mtandaoni
Shahada ya Kwanza ya Teolojia (BTh) — masomo yote mtandaoni.
Elimu ya Injili • Maarifa ya kujibu maswali ndani na nje ya kanisa • Huduma.
Jinsi ya kujiunga
- Pakua fomu ya usajili kwa kiungo kilicho hapa chini.
- Jaza fomu yote — sehemu A hadi G.
- Ambatanisha: picha ndogo, kitambulisho, cheti cha elimu, vyeti vya Biblia au Teolojia (ikiwa vipo), na uthibitisho wa malipo.
- Lipa ada ya usajili Tshs 10,000/=, kisha rudisha fomu pamoja na nyaraka kwa WhatsApp au barua pepe.
Utayari wa masomo mtandaoni
Unahitaji simu janja au kompyuta, na intaneti. Masomo, maswali na mitihani hufanyika kwa WhatsApp, barua pepe na PDF. Ukihitaji maelekezo, tuandikie — tutakuonyesha hatua kwa hatua.
Wasiliana nasi
WhatsApp: +255 715 787 836
Simu: +255 754 787 836
Barua pepe: muttaangelo7@gmail.com
Mahali: Dodoma, Tanzania
Elimu ya Injili kwa Kila Mtu, Kila Mahali.
