Sera ya Faragha

Tunakusanya jina lako, namba ya simu na barua pepe (ukiweka) kwa ajili ya kukamilisha oda yako na kukupelekea kitabu chako.

Namba yako ya simu inatumwa kwa mtoa huduma wa malipo (Snippe) ili kukamilisha malipo. Hatuhifadhi taarifa zako za PIN wala akaunti ya fedha.

Hatuuzi wala kukodisha taarifa zako kwa mtu yeyote.

MUTTA Chuo Kikuu cha Injili Mtandaoni

Matangazo

MUTTA Chuo Kikuu cha Injili Mtandaoni

Jifunze Neno la Mungu popote ulipo. Masomo, mitihani na vyeti — yote mtandaoni. Ada ya kujiandikisha ni Tshs 10,000/=.

Jiunge sasa